Saturday, August 8, 2009

YANGA KUUMANA NA MTIBWA SUKARI

Mabingwa wa soka nchini Dar yanga Afrikan wanatarajiwa kuchuana na mtimbwa sukari katika pambano la ngao ya hisani katka mchezo utakaofanyika jumapili wiki ijayo katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini tff Fredrick Lameck Mwakalebela amesema kuwa mchezo huo utakuwa ni sehemu ya maandalizi ya ligi kuu Tanzania bara inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi august 23 mwaka huu.

Mwakalebela ameongeza kuwa mchezo wa ngao ya hisani utakuwa unafanyika kila mwaka ikiwa ni sehemu ya kuashiria kufungua kwa msimu wa ligi nchini


TIKETI KUWAONA SIMBA,VILA ZAUZWA
Tiketi kwa ajili ya pambano la simba na spot clab villa ya Uganda zimeanza kuuzwa leo katika vituo mbalimbali vilivyoteuliwa jijini Dar es salaam.

Kiingilio cha juu kabisa katika pambano hilo litakalofanyika kesho katika uwanja wa uhuru kitakuwa shillingi elfu 50 wakatik kile cha chini kitakuwa shilingi elfu 3.

Mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya simba Hassan Hassano maarufu kama mpiganaji amevitaja vituo vya kuuzia tiketi kuwa ni katika vituo vya steers, hadees, big bon, millennium tower na maeneo mengine jijini DAR

Hassano ameongeza kuwa maandalizi katika tamasha hilo ambalo lina lengo la kuwatambulisha wachezaji wa simba ikiwa pamoja na kutambulisha jassey watakazotumia katika ligi kuu msimu ujao yamekamilika kwa asilimia kubwa.

Hasano amesema kuwa vifaa kwa ajili ya kupamba tamasha hilo vimewasili kutoka nchini afrika kusini hivyo amewataka mashabiki wa simba kujitokeza kwa wingi kesho uwanjani kushuhudia vitu vilivyoandaliwa na wekundu hao.

Sambamba na hilo clab hiiyo leo imetembelea katika hospitali ya taifa ya muhimbili kwa ajili ya kuwaona wagonjwa katika word ya watoto na wamefanikiwa kutoa zawadi mbalimbali kwa walengwa.


Katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini tff Fredrick Mwakalebela amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya michezo ya ufukweni inayofadhiliwa na shirikisho la soka ulimwenguni yaani fifa yanaendelea vizuri ikiwa pamoja na wadhamini mbalimbali kuanza kujitokeza

Mwakalebela amesema kuwa kwa sasa wanaandaa viwanja vitakavyotumika kaatika michezo hiyo.

UKATA WA YANGA HATIMAYE WAISHA
Baada ya kilabu ya yanga kuwa katika hali ngumu kiasi cha wapinzani wao kuanza kuwabeza kuwa wamefulia hatimae wachezaji wa wanajangwani hao wamelipwa malimbikizo ya mishahara yao ya miezi miwili.

Mmoja wa wachezaji hao ambae hakutaka jina lake litajwe redioni amesema kuwa kwa sasa karibu wachezaji wote wana ari ya kufanya mazoezi baada ya adui njaa kuanza kuwakimbia.

Ameongeza kuwa amekuwa katika wakati mgumu sana kiuchumi kiasi ambacho hawezi kukielezea na kuongeza kuwa anaushukuru uongozi wao kwa kuweza kulifanyia kazi suaala hilo mapema iwezekanavyo.

Ameongeza kuwa kwa sasa anaamini mazoezi ya wanajangwani hao yataendelea vizuri japo wachezaji sita wa timu hiyo wapo katika kikosi cha taifa stars kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya amavubi ya Rwanda utakaofanyika wiki ijayo nchini Rwanda.

Wachezaji hao walikuwa wakidai mishahara yao ya miezi miwili juni na julai hali iliyopelekea kudorola kwa mazoezi hayo na kumfanya kocha mkuu wa timu hiyo Dusan Condic kuwa katika wakati mgumu wa kuendelea na programu yake ya maandalizi ya ligi kuu.

KIFA KUWAPATA KINONDOKE KESHO
Uchaguzi wa chama cha makocha mkoa wa kinondoni kisoka unatarajiwa kufanyika jumapili wiki hii katia ukumbi wa manspaa ya kinondoni huku nafasi ya mweka hazina msaidizi ikiwa wazi kwa kukosa mgombea.

Katibu mkuu wa chama cha soka kinondoni KIFA Frank Mchaki amesema kuwa usaili kwa ajili ya uchaguzi huo umeshafanyika na kupitisha wagombea waliokizi vigezo.

Mchaki amewataja wagombea watakashiriki katika uchaguzi kuwa ni Eliutel Mholela katika nafasi ya mwenyekiti, wakati makamu mwenyekiti ni Cansius Masombora.

Nafasi ya katibu mkuu itagombewa na Mbwana Makata wakati nafasi ya katibu msaidizi yupo Daniel Mashote

Mweka hazina itagombewa na Evarist Katomondo huku nafasi ya mweka hazina msaidizi ikiwa haina mgombea.

Boniface Wambura atagombea nafasi ya mjumbe taifa wakati Hamis Pondamali na Samson Hika wao watagombea nafasi ya mjumbe kamati ya utendaji.

SC VILLA YAWASILI JIJINI LEO

Michezo na burudani 06/08/2009

Timu ya sport klab vila ya Uganda imewasili leo jioni kwa ajili ya mpambano wa kirafiki na timu ya simba utakaofanyika siku ya jumamosi katika tamasha la wekundu hao.

Mweka hazina msaidizi wa simba Chano Almasi amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya tamasha hilo yanaendelea vizuri.

AFRICAN LYON KIKICHAPA NA SC VILLA
Baada ya timu ya afrikan lyon kukubali kichapo cha bao 3-0 na timu ya taifa ya vinaja Serengeti boys hapo jana inatarajiwa kuwa na pambano la kupimana nguvu na timu ya sport clab villa ya nchini Uganda.

Akizungumza kwa njia ya simu na kipindi hiki msemaji wa timu ya afrikan lyoni hasan mvula amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya jumapili wiki hii katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Mvula ameongeza kuwa kufungwa na timu ya taifa ya vijana hapo jana ni sehemu ya changamoto kwa mwalimu wa timu hiyo kujua wapi anahitaji kufanya marekebisho katika maandalizi ya ligi kuu msimu ujao ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi tarehe 23 mwezi huu.

PWANI YAJIPANGA KISOKA
Baada ya timu ya vijana ya mkoa wa pwani kutofanya vizuri katika michuano ya kopa coca cola iliyomalizika hivi karibuni, chama cha soka mkoani humo COREFA kimeandaa mikakati babu kubwa kwa ajili ya kuwaendeleza vijana kwa kuandaa michuano mbalimbali mkoani humo.

Mwenyekiti wa corefa Hassan Hasanoo maarufu kama mpiganaji, amesema kuwa kwa sasa michuano ambayo inaendelea ni ile ya kawambwa cup ambayo inafanyika wilaya ya bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kuendeleza soka la vijana mkoa wa pwani.


SIMBA KUWAONA WAGONJWA KESHO
Klab ya simba kesho inatarajiwa kwenda kuwaona wagonjwa katika wodi ya watoto katika hospitali ya mhimbili jijini Dar es salaam.

Mwenyekiti wa kamati ya mashindano ya simba hasani hasanoo amesema wameamua kufanya hivyo kutokana na kuona umuhimu wa wodi ya watoto na changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo.

JESHI LA POLISI KUWALINDA CHIWA,MROSO
Jeshi la polis katika kituo cha changombe jijini Dar es salaam, limejipanga vizuri kwa ajili ya kutoa ulinzi katika pambano la ngumi kati ya liston chiwa na Robert Mroso litakalofanyika jumamosi wiki hii katika ukumbi wa luxury pub temeke.

Rais wa organization ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassin Abdallah amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya pambano hilo yanaendelea vizuri ambapo kesho mabondia wote watakaopigana watapima uzito ikiwa ni sehemu ya kukamilisha maandalizi yenyewe.

Stars Kuwafunda Serengeti Boys

Michezo na burudani 04/08/2009

Timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wanatarajiwa kuchuana na timu ya taifa ya Tanzania taifa stars ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya michuano ya kombe la vijana la cecafa linalotarajiwa kuanza kutimua vumbi tarehe 18 mwezi huu nchini sudan.

Katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini tff Fredrick lameck Mwakalebela amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya michuano hiyo yanaendelea vizuri.

TFF YAITUNISHIA MISULI SIMBA
Shirikisho la soka nchini tff limeitunishia misuli timu ya simba kwa kukataa maombi ya wachezzaji wao kujiunga na timu ya taifa baada ya tamasha lao linalotarajiwa kufanyika tarehe 8 mwezi huu katika uwanja wa uhuru jijini dar.

Stars ambayo imeanza mazoezi yake jana bila ya wachezaji 7 wa simba walioitwa kujiunga na timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya wanyarwanda unaotarajiwa kutimua vumbi august 12 mwaka huu nchini Rwanda

Katibu mkuu wa tff Fredrick mwakalebela ameigomea barua yao kwa kuwataka wajiunge na timu hiyo haraka iwezekanavyo kwa kuwa mchezo huo ni kwa maslahi ya watanzania wote na kuwataka waonyesha uzalendo

TAITANIC WAIBUKA KIDEDEA
Timu ya titanic leo imewanyuka home boys kwa jumla ya bao 3-1 katika mashindano yanayoendelea ya kombe la upendo katika mchezo uliofanyika uwanja wa tandika mabatini jijini Dar es salaam.

Taitanic ndio walikuwa wa kwanza kuzifumania nyavu za home boys katika dk 5 tu ya mchezo kupitia kwa Mrisho timam bao lililodumu hadi mapumziko.

kipindi cha pili kilianza kwa timu zote kuonyesha shauku ya kutaka kupata bao na katika 61 maulid kudra aliisawazishia bao timu yake ya home boys hali iliyowapelekea wapinzani wao kuongeza kasi ya mashambulizi kwa lengo la kupata ushindi katika mchezo huo.
Baada ya dk 6 mbele mrisho tamim tena aliipatia timu yake ya titanic bao la pili kabla ya Hebu Gamba kuongeza bao la 3 lililodumu hadi mwisho wa mchezo na kuwafanya home boys waondoke uwanjani kwa kichapo cha bao 3-1.

Kesho ligi hiyo itaendelea tena kwa kuzikutanisha timu ya temeke squad watakaotoana jasho na aman fc katika uwanja huo huo wa tandika mabatini.

Wakati huohuo timu ya sekondari ya magnus inatarajiwa kushuka dimbani kesho kumenyana na timu ya wakuzuka fc katika mchezo wa nusu fainali jez cup katika mchezo utakaofanyika katika uwanja wa majohe

Habari hii ni kwa mujibu wa mweka hazina msaidizi wa chama cha soka la vijana wilaya ya ilala IDYOSA

Kuwaona Villa Elfu Hamsini

Timu ya simba sports club leo imetangaza kiingilio cha kwenye tamasha la timu hiyo itakapopambana na timu ya sport villa ya uganga katika mchezo utakaofanyika jumapili wiki hii katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Mwenyekiti wa wekundu hao hasan Dalali amesema kuwa kiingilio cha juu kitakuwa shilingi elfu 50 wakatiki kile cha chini kitakuwa shilingi eltu 3

Dalali amesema kuwa siku ya pambano hilo ambalo litakuwa na lengo la kuitambulisha timu ya simba sambamba na kuwatambulisha wachezaji wapya, ambapo mgeni rasimi atakuwa spika wa bungu la jamhuri ya muungano wa Tanzania samwel sitta

Sambamba na hilo club ya simba imelitaka shirikisho la soka nchini tff kuwaruhusu wachezaji waliochaguliwa kucheza timu ya taifa stars kujiunga na timu hiyo augast 9 badala ya siku ya leo kama ilivyokuwa imetangazwa.

Simba waigomea stars
Katibu mkuu wa simba mwina kaduguda amesema kuwa sababu ya kufanya hivyo ni kuwaandaa wachezaji wa klab hiyo katika maaandalizi ya ligi kuu Tanzania bara inayotaarajiwa kuanza kutimua vumbi augast 23 mwaka huu wakiwa chini ya kocha wao.

Wachezaji saba wa timu ya simba walioitwa katika timu ya tafifa ya Tanzania taifa stars ni ally Mustapha, kelvini yondan, david naftari, juma jabu, juma nyoso, musa hasan mgosi na danny mrwanda.


soka
Timu ya davis conner leo imetoa kichapo kwa timu ya mchanagani kwa kuifunga jumla ya boa 2-1 katika mchezo wa ligi ya kombe la upendo uliofanyika katika uwanja wa tandika mabatini jijini Dar es salaam.

Mabao ya davis conner yalifungwa na mashaka mahira katika dk ya 11 na 26 wakati lile la kuondoa aibu la mchangani lilipachikwa wavuni na abuu azizi katika dakika 52.

Ligi hiyo itaendelea tena kesho wakati watani wa jadi wa ligi hiyo wataingia uwanjani kuonyeshana ubabe wa nani mkali kati ya timu ya taitanic sports club na home boys team katika mchezo utakaopigwa pale pale katika uwanja wa tandika mabatini.

Nayo mashindano la kombe la maembe (maembe cup) imeendelea leo hatua ya robo fainali ambapo timu ya ya hali ya hewa imewachapa kitintale bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi yombo kiwalani.

Friday, February 6, 2009

Kuishi kwingi kuona mengi,mgaa na upwa hali wali mkavu,na kuti la mazoea humwangusha mgema.sikusudi langu kufundishana methali au kuandkika methali hizi katika hii makala bali ni kutaka kutumia kama sehemu ya semi zitakazokamilisha kile nilichokipata hapa kwa muda wa siku tano kuanzi jumatatu hadi leo ijumaa.

Ilikua kama mzuka nilipopata mwaliko wa kuhudhulia wordshop hii kupitia MISA Tanzania.hakika nilijua kwa namna moja a u nyingine mimi najua kutokana na elimu niliyonayo kuhusinana na mambo ya internet nikadhani nafahamu karibu kila kitu kumbe nilikua najidanganya katika mambo ya internet kama ni bahari basi nafahmu ujazo wa lita elfu kumi tu.

Workshop hii imebadili sana mwelekeo wa kuweza kupata taarifa zangu,tangu jumatatu nilipofika hapa na kuanza kujifunza mambo ya internet nilianza kufamu mambo mengi zaidi.moja wapo ya mambo niliyojifunza ni pamoja na namna ya kuweza kutafuta habari kutoka vyanzo mbalimbali vya habari.kupitia mtandao unaweza kupata makitaba mbalimbali ulimwenguni,namba za simu za wwatu na mashirika mbalimbali,musiki na wasanii pamoja na historia zao.na burudani mbalimbali.

Mbali na habari unaweza,unaweza kuweka oda mbalimbali ikiwa pamoja na kununua kuuza vitu kupitia mtandao.baadhi ya mitandao ambayo nilikuwa ssiijui na ni vyanzo vya habari ni kama vile slash,salon,internet usage,alexa, youtube na amazon.

Mbali na hayo nimeweza kujua pia namna ya kuweza kufungua tovuti yangu mwenyewe kitu ambacho nilidhani ni kazi kubwa sana ambayo ilihitaji watu maalumu tu




au au makampuni tu.lakini leo hii unaweza kupata habari yangu kupitia mtandao wangu mwenyewe ujulikanao kama bugobora na kuweza kupata habari mbalimbali ambazo mimi mwenyewa nimeziandaa.

Napenda nitoe shukurani zangu za zati kwa MISA- Tanzania ambao nia waandaaji wa workshop hii pamoja na mkufunzi wetu ndugu PEIK JOHANSSON Kutoka Finland kwa jinsi ambavyo ameweza kutufungua na kutuwezesha kutambua vitu mbalimbali kutitia mtandao.kupitia sisi hakika kampuni zetu tunazoziwakilisha zimenufaika vya kutosha,na kile tulichokipata kitakua chachu pia kwa wenzetu ambao tunafnya naokazi.

Mapendekezo yangu semina hii ingeendelea kutolea japo kwa muda wa mwezi mmoja
NDIO MNAKUWA MAKINI KIHIVYO............DUU!!! AMAAAA KWEEEEELI..........

Phillip Bugobora wa radio passion fm akiwa makini katika workshop ya internet,kulia kwake ni Zuena Msuya wa TBC na Hyasinta Timothy wa Majira.kwa upande wa nyuma yupo Basil Msongo wa Habari leo.(picha kwa hisani ya Maggid Mjengwa)

Zuena Msuya kutoka TBC akiwa na Phillip Bugobora wa radio Passion Fm katika workshop ya intenet iliyofanyika katika ukumbi wa Tanzania Global Development Learning Centre jijini Dar es salaam.(picha kwa hisani ya Maggid Mjengwa)

mambo ya mohamed aboutrika baada ya kuzifumania nyavu za wasudani

Thursday, February 5, 2009

MOHAMED ABOUTRIKA AND THE GAZA CONFLICT

Aboutrika is not the name of drugs or even name bland of car, this is the name of the Egyptian football player called Mohamed aboutrika.

Aboutrika who was playing midfielder, born November 7, 1978 in Giza Egypt, according to Wikipedia, started to play football in age of 12 years old, playing football in the streets and honing his skills.

Aboutrika who is a grandaunt in Cairo University with Bachelor of Arts degree in philosophy, he played in Egypt with the Tersana, Al-Zamalek, Al- Ahly and in 2003/2004 league become a second place between top scorers in Egyptian league by scoring 14 goals.

Aboutrika must be the most upstanding and honorable football star on the planet... He is a blessed footballer and a blessed man - too bad FIFA have overlooked one of the greatest living players simply because he doesn't play in Europe, shame on them, corrupt organization that they are.

According to the YouTube, Aboutrika defended his actions in Egypt’s group stage match against Sudan after he was warned by the confederation of African football for revealing a t-shirt in support of Gaza as a part of a goal celebration.

Some Arab commentators describe this yellow card as an 'honorable punishment' for any athlete. In Gaza, Palestinian people went out, raising Aboutrika's photos thanking him and appreciating his act. The same scene was replied after the final match, when Aboutrika scored the winning goal for Egypt, many Palestinians went out to celebrate the victory and singing for Aboutrika. Al-Hilal club in the Gaza Strip made an honoring ceremony for Aboutrika, where youth team players lift flags reading "Palestine loves Aboutrika",

Aboutrika initially did not want to discuss the issue, but he broke his silence and spoke exclusively Al Jazeera's Carrie Brown. He said that his action was a personal statement from himself, as he feels quite sympathy with children of Gaza Strip who are under siege, he feels sorry for their starving and suffering, and has many worries about their safety. Aboutrika affirmed for the Egyptian Football Federation that he is responsible for any problems appearing on surface

THE MORE I ATTEND THE WORKSHOP THE MORE I LEARN MORE

“The more I attend the workshop the more I get a lot”, this is what I have discovered this after get a lot from my facilitator. Today is a third day of our training, since we started this short course of internet training, am starting to see the light it searching information from different websites

As usually I attended the workshop place early and start to open different websites and reviewing of what we learnt last day before the facilitator began training. The topic of today is internet as a tool in journalism. The workshop facilitator, Piek Johansson trained us on how to access information from different websites.

Apart from abroad website, he tought us on how to see our local newspapers like ipp medeia, new habari ,freemedia, mwanacnchi, the arusha times, global publishers, uhuru and startv.

He advised us also when we write our stories; we have to put on our contact in order t to let readers to comment.

“Most of journalists do not put their telephone or e mail address on the end of their stories, and even radio or TV presenters don’t mention their telephone numbers for comment or advice” said Johansson.

“How many of you visit t the Tanzania national website?” Johansson asked us. Only two people among us visit it, this means that we don’t have habit of visiting our website or we were not aware on that site. The Tanzania national site is www.tanzania.go.tz, in this you can find a lot like national information, union government, banking services, mass media and many more.

Another site that make happy is http://www.jamiiforums.com/, really surprised on this site, here you can find almost what you are looking for like what is going on in Tanzania, music information like bongo flavor, taarabu, and zilipendwa and gospel songs. Apart from those you can ask question which you are interest to know about

Other news sites those we have learnt today are http://www.ipsnews.net/, http://www.nation.co.ke/, http://www.allafrica.com/, http://www.ajol.info/, and sport sites are http://www.fifa.com/, http://www.uefa.com/, http://www.cafonline.com/,

We learnt also on how to know capital cities on different countries .

Tuesday, February 3, 2009

JOURNALIST IN THE AGE OF INTERNET

By Phillip Bugobora,
Journalist in the age of the internet, this was the main topic of workshop which taking place at TGDLC, IFM building in dare s salaam.

The workshop started yesterday which will be run for five days from Monday to Friday this week. The participants are editors and trainers from deferent media.

Peik Johansson started by teaching the participants on how to blog the websites, he trained the participant by using a quote of the speech of Rupert Murdoch to the American society of newspaper editors.

He asked the participants to read the the whole speech and come up with their own comment concerning to the topic which says "journalist in the age of internet”

“ That is manifestly not true of the internet. And all of our papers are living proof. I venture to say that not one newspaper represented in this room lacks a website. Yet how many of us can honestly say that we are taking maximum advantage of those websites to serve our readers, to strengthen our businesses, or to meet head-on what readers increasingly say is important to them in receiving their news?

“Despite this, I’m still confident of our future, both in print and via electronic delivery platforms. The data may show that young people aren’t reading newspapers as much as their predecessors, but it doesn’t show they don’t want news. In fact, they want a lot of news, just faster news of a different kind and delivered in a different way

“They want news that speaks to them personally, that affects their lives. They don’t just want to know how events in the Mid-east will affect the presidential election; they want to know what it will mean at the gas-pump. They don’t just want to know about terrorism, but what it means about the safety of their subway line, or whether they’ll be sent to Iraq. And they want the option to go out and get more information, or to seek a contrary point of view.” Said some of the Murdoch’s speech.
.

INTERNET WORKSHOP

By Phillip Bugobora,
Media Institution of Southern Africa (MISA)-Tanzania and VIKES Foundation today has launched a five days Internet workshop for editors and trainers

The facilitator of the workshop Peik Johansson said that the aims of the workshop are to enable the journalists’ fact finding, news monitoring, communication and publication.
He added that, using internet you can find global library, news rooms, phone directories, and TV and radio music.

Johansson, who is also a journalist training consultant, said that the workshop will run for five days consecutively from Monday to Friday.

The topics of today ware are introduction of the workshop and the participants and how internet has changed the societies and communication globally.

More than ten participants succeeded to attend to workshop and enjoyed it because it enables them to know much more about internet. Some of media presenters are from radio passion fm, radio one, radio Uhuru and radio times.

Others are Mwananchi newspaper, Uhuru newspaper, Nipashe newspaper, The Guardians, Majira newspaper, The Citizens, Habari Leo and daily news.